Saturday, July 26, 2014

IBRAHIM



Maafisa wa usalama wametakiwa kukabiliana na wahalifu wanaotumia majina ya makundi Fulani kufanya ugaidi na kuwahangaisha wananchi katika eneo la pwani. 

Katibu mkuu wa baraza la ushauri ya waislamu nchini  Ibrahim Hussen kuhakikisha swala hilo kutokana na majambazi hao kutumia makundi kama alhsabab na MRC kujificha kuangaisha wananchi. Vilevile amewataka mashirika yasio kuwa yakiserikali kuungana mkono na polisi wakitoa amri yatotaka wananchi kutoka nyakati za usiku. 


 Haya yalijiri baada ya kamishna  wa polisi kaunti ya Mombasa Nelson Marwa kutoa amri ya watu kutotoka nnje alipokuwa akiwautubia wananchi waliokuwa wamejawa na ghadhabu baada ya mahakama kutoa amri ya kutotoka njee nyakati ya usiku.

No comments:

Post a Comment