Saturday, July 26, 2014

RESCUE MOTHERS



 Kikundi cha wanawake Rescue Mothers  na vijana wa eneo  bunge la Jomvu , liapa kutoshiriki katika kura ya maoni  inayoitishwa na muungano wa upinzani, kwa kudai kutopata usaidizi ya aina yoyote  tangu kuchanguliwa kwa viongozi hao hawajapata maendeleo yoyote katika eneo hilo

Kulingana na mwenyekiti wa kikundi hicho Jamila Viled amesisitiza kutothubutu kushiki wasipobadilika  kwani eneo hilo limetengwa  licha ya  kuwa na idadi kubwa ya kina mama wajane, watoto yatima,walemavu pamoja na watu wanaoishi na virusi vya ukimwi.

Vilevile Kina mama hao aidha wamelalama kupitia maisha magumu huku watoto wao wakisalia majumbani bila kuenda shule licha ya fedha za basary kutolewa,huku watoto wao waliomaliza shule wakiwa hawana ajira.

No comments:

Post a Comment