Saturday, July 26, 2014

MUNGANO




Mwakilishi wa muungano wa walipa ushuru eneo la Pwani Kennedy Mganga  ameitaka serikali na viongozi kutambua bado hawaja afikia mtakwa ya wananchi kufatia ahadi zao waliotoa wakati wa uchaguzi mkuu uliopita.
Amesistiza kuwa asilimia tisini na tisa ya miradi iliopendekezwa na wananchi haijatekelezwa hadi kufikia wakati huu licha ya kuwa wakati mwingi umetupa kisogo.
Haya yote yalijiri baada ya wapwani kusoma bajeti zao na baadhi ya wananchi kuusika kupendeza miradi yao mashinani. 
Kwaupande wa wadadisi ya mambo ya maendeleo katika kauti ya pwani wamekiri kuwa bajeti ya mwaka 2013-2014 hayajafanyiwa kazi .


No comments:

Post a Comment